1 2 3 4 5 6 7 8 9 10

8

"Adam Shafiullah"
"Nuh Najiyullah"
"Ibrahim Khalilullah"
Ismail Dzabihullah"
"Musa Kalimullah"
Dawud Khalifullah"

Lakini yeye mwenyewe asema

"Mwenye neema na mwenye huruma"

"Niko karibu na Isa Aleisalam Mwana wa Mariam duniani na Mbinguni. Manabii wote wana husiana kwa sababu ya jamii moja. Mama wanaweza kuwa tofauti lakini dini ni moja".

"...Isa Aleisalam Mwana wa Mariam aheshimiwa duniani kote na baadaye. Na wale walio karibu na Allah.
"Kuapa kwa Allah, kwani moyo wangu umkononi mwake.kwa maana wakati umekaribia usiku ambapo mwana wa Mariamu ashuka kati yenu. Atakuwa hakimu mtakatifu."

"Hakuna Imam Mahdi ispokuwa Isa Aleisalam mwana wa Mariamu" "...Isa ni Roho wa Allah, mtumwa wa Mungu na neno la Mungu."

Kwahivyo rafiki wa kweli ni Isa mwana wa Mariamu.Rafiki wa kweli alitumwa na Allah kuja kusema hivi
"...Mtii hii ni njia nyoofu."
"...Bali msiwe kama wale wanaosema, Tunasikia lakini hatusikizi: Kwamabaya ya mnyama mbele ya Allah ni visiwi na wasio zungumza na wasio elewa."

IMAGE imgs/Swahili09.gif

1) Thibitisho wa Rafiki wa kweli inaonyesha wazi Siratul Mustaqiim

"Kwa Isa Aleisalam mwana wa Mariamu tulipeana nakala na kumtia nguvu kwa Roho Mtakatifu... Na kusiwe na rehema kwa dini: Ukweli wasimama kutoa makosa"

Pengine kwa dini yetu tulifuata njia zakitamaduni kuliko njia za miujiza za Allah. Tuna weza kuwa tumekosea yale Mtume Mohammed alielewa.Sote tunahitaji miujiza kamili kutoka kwa Mungu kupitia kwa Rafiki wa Kweli! Na tuache njia yeyote ambayo haipatikani katika kitabu cha Allah.