1 2 3 4 5 6 7 8 9 10

3

kutoka katika maovu ya dhambi. Furaha kubwa iliyojaa na kumtukuza daima mwenyezi Mungu ambaye ametuondolea masikitiko na majonzi milele.

Ni kwa njinsi gani sisi tulio waovu waume kwa wanawake tunaweza kuwa na furaha hiyo? Ni wale tu ambao wametukuzwa na Baba Mungu ndio wataingia mbinguni. Katika Alquarim Alqarim, mwenyezi Mungu anatufunulia kuwa alimchagua Isa Al Masih Aleisalam mwana wa Mariam kuwa zawadi ya ufufuo kwa kila mwanadamu.

Mbinguni na Duniani, mwenyezi Mungu ameteua jina la Isa Aleisalam Masiha aliyetabiriwa kuwa pekee mbinguni na duniani.

"--- yeye aliye na jina la masiha ni kielekezo duniani na kwengineko".

IMAGE imgs/Swahili04.gif

Kuzimu ni sehemu / mahali panapotisha sana. Wale waishio huko wanapata taabu sana kwa sababu mavazi, mamblanketi na vitanda vyao vimetengenezwa kwamoto. Juu ya vichwa na chini ya miguu yao kila mahali hapo kumejaa na moto, moshi mweusi na giza kuu. Macho yao hayaoni, masikio yao hayasikii na midomo yao imekuwa bubu katika mahali hapo pa masikitiko. Pamoja na mateso makuu, mioyo yao haifi. " Huzuni kuu imewajaa" hata hivyo mioyo yao hapa haina matumaini ya wokovu. Wakiwa hai, pia mioyo yao iko kama imekufa. Hakuna mwisho wa maumivu yao, maumivu ni ya milele.

Tangu binadamu wa kwanza, Mtume Adamu, watu wote wameanguka katika majaribu ya dhambi. Wamekuwa wakitenda dhambi na hivyo kuadhibiwa katika kuzimu yenye mateso makubwa.

"Na hakuna yeyote kati yenu bali kwenda kwake. Hii ni ahadi ya Bwana Mungu isiyoepukika."

IMAGE imgs/Swahili05.gif

Sisi sote tunajua kuwa ni wale tu wamwaminiyo katika Bwana ndiyo walio katika njia nyoofu ya kwenda Mbinguni.

Pia waumini wanaoenenda / wanaotenda kulingana na maombi na Bwana ndio watakaopata zawadi ya milele mbinguni.

Lakini ni wangapi kati yetu tunajua alama sahihi ambazo Mungu alitufunulia kwetu kuzifuata? Bila ya alama hizi kutoka kwa Mungu tunawezaje kuona njia iliyo nyoofu ya