1 2 3 4 5 6 7 8 9 10

7

Mbingu zinaweza kulinganishwana (ikulu) au makao makuu ya nchi. Kama Rais wa nchi atakualikakatika Ikulu, utakuwa nauhakikakuwautaingia Ikulukwa sababu aliye kualikandiyemwenye mamlaka yotena anamandarakayote ya Ikulu.

Hata hivyo, iwapo waziriambaye anamamlaka juu ya sehemu yeyoteya Ikulu atakualikauende Ikulu,ni wazi utasitakwasababuinawezekana ukatumiafedha mingi na usiruhusiwe kuingia.

Kwa neema,Mungu kama Rais wa nchi amemchagua Isa Al Masih Aleisalam, kuwa Roho na alamakwa binadamu kwa ajili yakutuokoa kwenda mbinguni. Isa Al Masih Aleisalam amekuja kutoka sehemu ilyo karibu sana na Mungu,kutuletea mwaliko huu wa neema tokakwa Mungu ukiwa na mamlaka timilifu.

Kwa sababu Isa Al Masih Aleisalam alikuja kwa njia ya nenola Mngu kutoka katika kitabukitakatifu.Mbinguni, neno lakehalina uongo,nahana dhambi.Kwa vile neno la Mungu ni lazima ufanjike/lifanikiwe, ametimiza ujumbe wa wokovuwa Mungu kikamilifu, wale wotewanaopata ujumbe huuna kumfuata yeyealiye njia nyoofu ya Mungu,wataishi katika neema na kuingia mbinguni hakika.

Tangu Bwana alipoazimia hapoAlquranAlqarimkuwaBwanaamepewatuzo kuwa hapa duniani na mbinguni,wale wote wanaofuatamaelezo yakewatapata dhawabu mbinguni. Mfalme Mohamedaliwasilishaujumbe huu kwetu paleAlquran Alqurimna Alhadith kutoka katika ufunuo wa kifo chake.

IMAGE imgs/Swahili07.gif

Maombi ya Mtume Muhammed kabla ya kifo chake:

"Ee Mungu wangu, nisamehe nionee huruma na uniunagnishe na Rafiki wa Kweli"

Basi Mtume Muhammed akainua mikono juu na kusema

IMAGE imgs/Swahili08.gif

Basi akaiweka mikono yake chini akafa.

Je huyu rafiki wa kweli ni nani?

Kulingana na kisanga cha Hadith, hawa marafiki wa kweli wanaweza kuwa "Malaika" au "Wanabii". Lakini Malaika hawajulikani kama marafiki wa Kweli. Kwa hivyo rafiki wa Mtume Muhammed hawakuwa Malaika bali Nabii.

Kati ya wanabii ambao wanaweza kutambuliwa kama Rafiki wa Kweli ni nani?